Bodi inasimamia uzalishaji, ubora, na maendeleo ya sekta ya sukari nchini.
Wakulima wanapaswa kuwasilisha maombi na kufuata taratibu za kisheria zilizowekwa.
Sukari inapaswa kufikia viwango vya TBS na TMDA ili kuuzwa sokoni
Bodi inasimamia usambazaji wa sukari ili kudhibiti uhaba na kudumisha bei thabiti
Bodi inatoa mafunzo, mbegu bora, na msaada wa kiufundi kwa wakulima wadogo.
Waombaji wanapaswa kuwasilisha maombi kwa Bodi na kukidhi vigezo vya kisheria.