Uchambuzi wa Kina wa Shughuli, Mafanikio na Changamoto Zinazokabili Wadau wa Sukari.
KIWANDA CHA SUKARI BAGAMOYO NI UWEKEZAJI WA MFANO WA KUIGWA
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba, amepongeza uwekezaji katika Kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo, akikitaja kama mfano wa kuigwa kwa uwekezaji wa ndani